Habari Digital
Habari Digital
  • Видео 1 063
  • Просмотров 15 107 894

Видео

Michezo ya Hatari mbele ya MAKONDA wachezea PIKIPIKI wafanya balaa ofisini kwa MAKONDA, ARUSHA
Просмотров 29 тыс.16 часов назад
.................. Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii Instagram, Twitter na Facebook
Tazama balaa la MAKOMANDO Hatari Zaidi na SIFA ZAO mbele ya Rais SAMIA
Просмотров 127 тыс.21 час назад
Tazama balaa la MAKOMANDO Hatari Zaidi na SIFA ZAO mbele ya Rais SAMIA
BITEKO aeleza kukasirishwa na UKATIKAJI WA UMEME mara akwa mara
Просмотров 439День назад
BITEKO aeleza kukasirishwa na UKATIKAJI WA UMEME mara akwa mara
Mama aliedhurumiwa na KUBOMOLOWA NYUMBA amwaga machozi, WAZIRI SILAA amsaidia
Просмотров 2,4 тыс.День назад
Mama aliedhurumiwa na KUBOMOLOWA NYUMBA amwaga machozi, WAZIRI SILAA amsaidia
"V8 za Wabunge zinatumia mafuta ya laki 5" MPINA na MSUKUMA wawasha moto Bungeni...
Просмотров 27 тыс.День назад
"V8 za Wabunge zinatumia mafuta ya laki 5" MPINA na MSUKUMA wawasha moto Bungeni...
Madudu yaibuliwa Ziara ya kushitukiza MWANANYAMALA HOSPITAL, RAS atoa maagizo mazito
Просмотров 827День назад
Madudu yaibuliwa Ziara ya kushitukiza MWANANYAMALA HOSPITAL, RAS atoa maagizo mazito
MAFANIKIO YA WIZARA YA NISHATI MWAKA 2023-24 UZALISHAJI UMEME
Просмотров 354День назад
MAFANIKIO YA WIZARA YA NISHATI MWAKA 2023-24 UZALISHAJI UMEME
Millard Ayo aeleza mazito kuhusu GARDNER G HABASH
Просмотров 1,3 тыс.День назад
Millard Ayo aeleza mazito kuhusu GARDNER G HABASH
INASIKITISHA, Mtoto wa GADNER, MALKIA KAREN alivyomwaga machozi Kanisa
Просмотров 826День назад
INASIKITISHA, Mtoto wa GADNER, MALKIA KAREN alivyomwaga machozi Kanisa
"Mimi sio Muoga, nitawalazimisha" MAKONDA awapa onyo watumishi hawa wa ARUSHA
Просмотров 1,2 тыс.14 дней назад
"Mimi sio Muoga, nitawalazimisha" MAKONDA awapa onyo watumishi hawa wa ARUSHA
"Tumekuwa na vongozi WANAFKI, KUJIPENDEKEZA na KUSIFIA VIONGOZI" MAKONDA atoa onyo kali ARUSHA
Просмотров 1,8 тыс.14 дней назад
"Tumekuwa na vongozi WANAFKI, KUJIPENDEKEZA na KUSIFIA VIONGOZI" MAKONDA atoa onyo kali ARUSHA
MPINA ajibiwa Kifo cha MAGUFULI kuchunguzwa "ni kama mwanamke anaeitafuta talaka"
Просмотров 2,6 тыс.14 дней назад
MPINA ajibiwa Kifo cha MAGUFULI kuchunguzwa "ni kama mwanamke anaeitafuta talaka"
MAKONDA ashitukiza NAMANGA, wananchi WAMWAGA MACHOZI kwa uchungu wakieleza kero zao
Просмотров 25 тыс.14 дней назад
MAKONDA ashitukiza NAMANGA, wananchi WAMWAGA MACHOZI kwa uchungu wakieleza kero zao
ARUSHA tutaanza kukagua wanaonuka midono, tutaletq WANAJESHI kusimamia USAFI na UPANDAJI MITI
Просмотров 1,6 тыс.14 дней назад
ARUSHA tutaanza kukagua wanaonuka midono, tutaletq WANAJESHI kusimamia USAFI na UPANDAJI MITI
Kwa uchungu Rais RUTO atangaza kifo cha MKUU WA MAJESHI KENYA muda huu
Просмотров 2 тыс.14 дней назад
Kwa uchungu Rais RUTO atangaza kifo cha MKUU WA MAJESHI KENYA muda huu
BARAZA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI WAANDAA KONGAMANO
Просмотров 19714 дней назад
BARAZA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI WAANDAA KONGAMANO
"Watu wanakufa, hali ni mbaya, robo tatu ya wabunge tuko kwenye hekaheka" Kwa uchungu Mbunge SALOME
Просмотров 78414 дней назад
"Watu wanakufa, hali ni mbaya, robo tatu ya wabunge tuko kwenye hekaheka" Kwa uchungu Mbunge SALOME
Wabunge wamshangilia PAUL MAKONDA na CHALAMILA walipofanya hili Bungeni leo
Просмотров 5 тыс.14 дней назад
Wabunge wamshangilia PAUL MAKONDA na CHALAMILA walipofanya hili Bungeni leo
"Tunawaogopa SIMBA ni tishio kwa YANGA" ALLY KAMWE akili kuwaogopa Simba, viongozi ni tishio
Просмотров 75414 дней назад
"Tunawaogopa SIMBA ni tishio kwa YANGA" ALLY KAMWE akili kuwaogopa Simba, viongozi ni tishio
ITAKULIZA!! Wamama WAANGUKA KWA VILIO mazishi ya watoto 7 ARUSHA ni vilio na majonzi
Просмотров 5 тыс.21 день назад
ITAKULIZA!! Wamama WAANGUKA KWA VILIO mazishi ya watoto 7 ARUSHA ni vilio na majonzi
"Chukueni NGURUWE wenu" CHAMA na KIBU kupata MILIONI 63 Dodoma Kijiji cha NGURUWE
Просмотров 92921 день назад
"Chukueni NGURUWE wenu" CHAMA na KIBU kupata MILIONI 63 Dodoma Kijiji cha NGURUWE
GAMBO amnyooshea mikono MAKONDA Arusha
Просмотров 3,4 тыс.21 день назад
GAMBO amnyooshea mikono MAKONDA Arusha
"Msidanganywe hakuna mwanasiasa anaeweza kubadili maamuzi ya Mahakama" MAKALA
Просмотров 83921 день назад
"Msidanganywe hakuna mwanasiasa anaeweza kubadili maamuzi ya Mahakama" MAKALA
MWAMPOSA ashusha MAOMBI MAZITO, akimuombea MAKONDA ofisini kwake ARUSHA
Просмотров 9 тыс.21 день назад
MWAMPOSA ashusha MAOMBI MAZITO, akimuombea MAKONDA ofisini kwake ARUSHA
"Mawaziri wanatuma watu kumtukana Rais SAMIA" MAKONDA kuwataja kwa majina, awapa onyo kali leo
Просмотров 8 тыс.21 день назад
"Mawaziri wanatuma watu kumtukana Rais SAMIA" MAKONDA kuwataja kwa majina, awapa onyo kali leo
Maneno mazito ya MAMA JANETH MAGUFULI kwa MAKONDA, ARUSHA
Просмотров 8 тыс.21 день назад
Maneno mazito ya MAMA JANETH MAGUFULI kwa MAKONDA, ARUSHA
MAKONDA afika kaburini kwa SOKOINE, amualika Rais SAMIA na viongozi waandamizi
Просмотров 6 тыс.21 день назад
MAKONDA afika kaburini kwa SOKOINE, amualika Rais SAMIA na viongozi waandamizi
MAFURIKO ARUSHA hali ni tete MAGARI YASOMBWA NA MAJI wananchi waangua vilio
Просмотров 7 тыс.21 день назад
MAFURIKO ARUSHA hali ni tete MAGARI YASOMBWA NA MAJI wananchi waangua vilio
"Nitatoa NGURUWE mmoja na LAKI SABA kwa kila goli litakalofunhwa" Dodoma Jiji vs Yanga SC
Просмотров 62321 день назад
"Nitatoa NGURUWE mmoja na LAKI SABA kwa kila goli litakalofunhwa" Dodoma Jiji vs Yanga SC

Комментарии

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky 2 часа назад

    Shukhuli imeanza mtaisoma huyo ndio baba keigan

  • @johnsonjackson6581
    @johnsonjackson6581 4 часа назад

    Mungu Akubariki na akulinde muheshimiwa mkuu wa mkoa wa Jiji letu la Arusha, kaka yetu, mwanafamilia @babakeagan na mungu atusamehe kwa mawazo mabaya yaliyo jijenga kwa uongozi uliopo Sasa kua ni uongozi wa kibeberu usio na huruma na wananchi wake, Mtienguvu Raisi wetu Mama Samia Suluhu Hassan awe na uwezo wakuteua watu wakumuwakilisha wenye huruma na watenda haki kwa wenye haki wananchi wa mkoa huu Wana nyanyasika, tume nyanyaswa! wazazi wetu wamelizwa mbele ya macho yetu kisa haki zao kuchukuliwa kibabe, biashara zimeharibiwa, familia zetu zimetenganishwa, kubambikiziwa kesi za uwongo na kuzungushwa kwa muda mrefu sana hii ni staili ilio tengenezwa na wahalifu wanaojulikana hapa Arusha kina (MOJA) na group lake la vibaka wa hapa daraja mbili, wakishirikiana na bahathi ya watumishi wa umaa ikiwemo police na Mahakama pia Baraza la ardthi yuko muheshimiwa mmoja Anaeitwa (MDACHI) wa hapo Baraza amekua kwenye hicho kiti kwa muda mrefu sana akificha makucha yake kwa cheo alicho pewa. Ni kwamba kesi ikiwa kwake hata ukate rufaa marangapi Huwa zinarudi kwake, Rushwa, zuluma na unyanyasaji zimetawala hapo Baraza, police na Mahakamani katika hizi sekta watu Wana zilisha familia zao visivyo vya haki ndio maana Wana choe lakini hawana Maisha Wala Raha na pia sura zao Mbayaa. Nina mengi sana ya kusema ila kwa Sasa Ningepena nitangulize shukran zangu za dahti kwa muheshimiwa Paul Makonda kwa kutenga muda na siku za kusikiliza shida za Wana Arusha tunazo kabiliana nazo, Tutaonana tare 8th may 2024. Asante, stay blessed Mkuu!

  • @ellymagoke6079
    @ellymagoke6079 5 часов назад

    Nakukubali bro

  • @MossesiMosessilaizerlaizer
    @MossesiMosessilaizerlaizer 14 часов назад

    Ww ach siasa bwn ww ongea

  • @TimotheoEnocy
    @TimotheoEnocy День назад

    Kbx

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo День назад

    Yani huu mkuu aliye ondoka alikuwa anafanya ninii, utafikiri hakuna utawala lakini mungu anawaona hao wote.mtaenda kulizwa na mungu juu ya yale mlokuwa mkiyasimamia.mtajuta

  • @user-jf1sq7lk4g
    @user-jf1sq7lk4g День назад

    Dah. Aise inauma sana sikia Kwa mwenzio tu.😭😭😭

  • @user-cl1rm6mp3b
    @user-cl1rm6mp3b День назад

    Mumeshindwa DRC, hamuna la kusema na hamutashinda hata kamwe hapo DRC.

  • @JosephMaganga-wl3cn
    @JosephMaganga-wl3cn День назад

    Tanzania nijeshi kubwa

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 День назад

    Stupid

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 День назад

    Stupid

  • @faizimpinga698
    @faizimpinga698 День назад

    Asante sana kiongozi tuna kukubali piga kaz

  • @yusuphmkapa934
    @yusuphmkapa934 День назад

    MWAMBA NAKUKUBARI SANA 🙏 PIGA KAZI WAHUNI KULA NAO SAHANI MOJA.

  • @user-gr7jk4vc7f
    @user-gr7jk4vc7f День назад

    Hhhh ma fake commandos wamemalizwa na m23 hapo DRC, hivo wanavyofanya nikama mchezo wa comedians

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 2 дня назад

    Huyu ndio kiongozi anayetakiwa...Salute kwake Makonda

  • @Imaniamockgmail
    @Imaniamockgmail 2 дня назад

    Mungu akulinde mheshimiwa makonda nikijana mdogo lakini majukumu ni makubwa mno mungu akutie nguvu mheshimiwa popote uendapo

  • @safeprint9418
    @safeprint9418 2 дня назад

    huu ni upuzi mtupu tembea russia ama us uone mambo yanavyostahili kua

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 дня назад

    Mbona helikopta hız za kizaman sana bado tunatumıa hiz wwnzetu wa Defiant x ,MD 500,530 NOTAR........ Hatr sanaaaa

  • @user-cg9mq8tu9g
    @user-cg9mq8tu9g 2 дня назад

    Mweshimiwa tunateseka na kuteswa tunalazimishiwa operation hospitali za binafsi

  • @happinessshayo8014
    @happinessshayo8014 2 дня назад

    Mungu ni mwema siku moja binadamu watapona kabisa

  • @MrishoMigesi
    @MrishoMigesi 2 дня назад

    Sema makonda huwa anashuka siku zote... Jamaaa yuko vizur sana kwenye uongoz.. Big up makonda

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet718 2 дня назад

    Nikiwa Kenya nampenda sana mheshimiwa makonda,tangu aliekua rais afe sina wasiwasi tena.Tanzania mna bahati kubwa Sanaa, mungu ambariki makonda sana na amlinde siku zote,amen.

  • @oliashoo4675
    @oliashoo4675 2 дня назад

    Nimebaki nalia tu Mh ,Makonda, Mungu akulinde,akutunze, aendelee kukupa hekima, Uishi sana na uendelee kutetea wanyonge, in Jesus name,Amen

  • @ElieserGabriel
    @ElieserGabriel 2 дня назад

    ❤❤.. super pesa sabuni ya roho🎉

  • @user-nh9zf7vv3r
    @user-nh9zf7vv3r 2 дня назад

    Kaka mubunge mumeongeya vizuri mungu awalinda nyinyi wa ccm namimi nakubali makonda sana mimi ni mucogo

  • @StevenPeter-sg7zo
    @StevenPeter-sg7zo 2 дня назад

    Ila makonda akiwepo sehemu lazma utajua tu kama yupo 😊., big up kwake

  • @emazacharia4455
    @emazacharia4455 3 дня назад

    Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya

  • @user-fk1fd8on6e
    @user-fk1fd8on6e 3 дня назад

    Ntalia siku akiwa raisi huyu ,,

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 3 дня назад

    Nafikiri serikali pia itusaidia kuwatumia watu wenye uwezo kufuta vitu vya ajabu mtandaoni, Mungu atusaidie TANZANIA

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 3 дня назад

    Barikiwa sana Mchungaji tupinge ushoga kwa namna zote

  • @starionwaheron
    @starionwaheron 3 дня назад

    Jakaya Kikwete aliwadanganya kuenda kupigana rahia wa Congo lakini hamuwezi kushinda vita ya M23

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 3 дня назад

    Serikali jaribunikutusikilizaraia nchiniyetusote jamani sisipia niwatanzania

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 3 дня назад

    Serikali jaribunikutusikilizaraia nchiniyetusote jamani sisipia niwatanzania

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 3 дня назад

    Serikali jaribunikutusikilizaraia nchiniyetusote jamani sisipia niwatanzania

  • @thabitiseapower4499
    @thabitiseapower4499 3 дня назад

    Mufi wewe

  • @gegerenne897
    @gegerenne897 3 дня назад

    😂😂😂 m23 imewagonga mbaya congo wakakimbiya.awoo bure kaka.waweke vita njoo utajuaa kama hawana ma funzoo ya vita.

  • @tuyishimiresaidi5596
    @tuyishimiresaidi5596 3 дня назад

    Izinizongabo zikinyejana

  • @SmilingBoardGames-jm4sj
    @SmilingBoardGames-jm4sj 3 дня назад

    😭😭😭😭😭😭

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 3 дня назад

    Mmmmmmh hata bhanah

  • @WinfredCharles-ij2ib
    @WinfredCharles-ij2ib 3 дня назад

    Rais ajaye huyuuu

  • @ZaituniAthuman-gd6op
    @ZaituniAthuman-gd6op 4 дня назад

    Keel kabisa

  • @ZaituniAthuman-gd6op
    @ZaituniAthuman-gd6op 4 дня назад

    Mama Sena kwel

  • @SikujuablacksonSilwimba-qs7pd
    @SikujuablacksonSilwimba-qs7pd 4 дня назад

    Hapo sawa mama Kwa ujumbe Kwa watumishi wa umma ama mei mosi safi.

  • @simionndihabi44
    @simionndihabi44 4 дня назад

    Muache wizi kijana watu wanachuka...kwani ninani siyo Mzanzibari?

  • @user-hy4pf2lj3u
    @user-hy4pf2lj3u 4 дня назад

    Mhh,walimu bhana

  • @mrsfidekessymkumbo7007
    @mrsfidekessymkumbo7007 4 дня назад

    Na sasa tunashuhudia Christina alipofikia. Ndoa iko wapi?????

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q 4 дня назад

    Tume ya maadili ya viongozi mama ikusaidie anapoteuliwa kataja.mali alizonazo muda grofa mijumba vikampuni maadili wapo karibu miaka Inayo kwenda hakuna tena anayeangalia mali za huyu kiongozi Kila kitu kilicho jengwa na sirakali kikifanya kazi tutafanikiwa hatujasikia hata siku moja kuna ilitaifishwa kwa vile imepatikana sivyo angalia Azimio la Arusha. Jina msajili wa majumba mtu anashindwa kueleza mali alizo nazo amepata jee analipa Kodi kwa nja alizopatia hizo mali. NA ni mtumishi wa umaaa ndugu zake mali walizo nazo wanaibuka walizpata jee. ni baada ya ndugu kuteuliwa pili undugu kazini tatu kuweka ndugu kwenye nafasi zenye mslai .kwa mfano mh Makonda nilimpenda sana aliposema atafanya uchunguzi Kila mmoja alipata je nafasi aiza kwa rushwa au undugu na jee wanatoshea kwenye nafasi hizoo ooooo

  • @user-jj1jp4be2k
    @user-jj1jp4be2k 4 дня назад

    Mh!

  • @3hZakayo
    @3hZakayo 4 дня назад

    Tupo vzr Tanzania

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 4 дня назад

    MBONA HAMJATUONYESHA MAKOMBOLA YA MASAFA AU HAMNA???